Eeh lady S, colabo na pili pili.hii ngoma ni ya wahuni,watu wa kuhanyahanya.wakiniona wanainuka.
Ukimwona mwambie namtaaka,
Ukimwona mwambie na msaaka,
Ukimwona mwambie namhata
Ndio ajue na mpenda
Ukimwona aah *3
Mtoto nakuomba nisamehe,
Kwa kutangatanga kama mwewe,
Usiniache mama
Nitaumia mtoto na njeve,
Unajifanya mpoa na hata huna mwere moja
Una hanyahanya huku na kule ati mimi nakungoja,
Unaniseduce ati tutastay pamoja,
Naulikuwa unahanya ule beste wangu wa Umoja,
Sihatajuzi maboyz walikucheki na manzi fulani mtaani,
Nakila wakati unanipa date unaosha masahani,
Fatum
Commentaires récents
2 heures 36 minutes ago
6 heures 36 minutes ago
10 heures 46 minutes ago
11 heures 23 minutes ago
11 heures 39 minutes ago
17 heures 43 minutes ago
19 heures 48 minutes ago
1 jour 9 heures ago
1 jour 17 heures ago
2 jours 1 heure ago